June 8 2016 Serikali kupitia Wizara ya fedha na mipango
imewasilisha bungeni Dodoma mapendekezo ya makadirio ya mapato na
matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2016. Jukumu la kuwasilisha limefanywa
na Waziri Philip Mpango.
Waziri Mpango amesema..>>>’Kwa
upande wa matumizi, katika mwaka 2016/2017 Serikali inapanga kutumia
jumla ya shilingi trilioni 29.54 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo‘