Monday, May 23, 2016

Donald Trump anaweza kuuza moja ya hii mijengo yake ili kusaidia kampeni zake


Mgombea Urais nchini Marekani Donald Trump amesema anaweza ‘kuuza jengo’ ili kusaidia mfuko wa kampeni yake ambayo inaweza kugharimu dola billioni 1. 

Rais Magufuli kafanya uteuzi mwingine leo May 23 2016




May 23 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi wawili wa serikali, taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi leo

Louis van Gaal: Manchester United sack manager



Manchester United's FA Cup final win over Crystal Palace gave them a 12th success in the competition and a first since Sir Alex Ferguson led them to victory in 2004

FOLENI - SUKARI.




Wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wakiwa kwenye foleni ya kununua sukari 

katika duka la jumla lililopo kando ya Barabara ya Sokoine mjini Songea mwishoni mwa wiki. Bei ya sukari 
imepanda kutoka Sh 2,000 hadi kufikia Sh 3,500 kwa kilo mkoani humo kutokana na kuadimika kwa 
bidhaa hiyo. (Picha na Muhidin Amri).