Monday, May 23, 2016

FOLENI - SUKARI.




Wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wakiwa kwenye foleni ya kununua sukari 

katika duka la jumla lililopo kando ya Barabara ya Sokoine mjini Songea mwishoni mwa wiki. Bei ya sukari 
imepanda kutoka Sh 2,000 hadi kufikia Sh 3,500 kwa kilo mkoani humo kutokana na kuadimika kwa 
bidhaa hiyo. (Picha na Muhidin Amri).

No comments: